![]() |
Mali za Mzee Sepetu hizo "dada zake Wema" |
Nabii hakubaliki kwao ila kwa Wema imekuwa tofauti wapo wanaosema wema kicheche, hajatulia wakatin huo huo wapo wanampenda Wema mimi nikiwa mmoja wao.
Penye wengi pana mengi Mwanadada huyu amekuwa akihusishwa na mahusiano ya kimapenzi na mastaa wengi nchini lakini katika yote penzi lake na Diamond ni funga kazi na funga mwaka, sijui kwanini wawili hawa waliachana wakati ukweli walikuwa wanapendana na naimani bado Wema anampenda sana Naseeb Abdul "Diamond".
![]() |
Wema na Diamond |
Mbali na Diamond wapo wengine wametajwa wakina Mr.Blue,Charlz Baba,Steven Kanumba ,james fredrick, Jumbe na wengine wengi, ingawaje kwa muda huu bado haijajulikana wazi
ana mahusiano na nani.
Wema amekuwa mwepesi sana kuwasaidia watu mbalimbali wakiwemo wasanii wenzake, watoto ya yatima na kwa muonekano wake naamini Wema ana kila sababu ya kuwa mke wa mtu kwa sasa.
![]() |
Wema akimnusuru Kajala kwenda jela |
Mavazi ya Wema siku hizi ni tofauti na hapo awali, umapepe wa Wema haupo tena, Wema amekuwa amekuwa mkubwa, Wema amekuwa mama na kwanini Wema asiwe mke wa mtu?
![]() |
Wema katika muonekana kama wa ndoa ila mambo ya maulid hayooooo |
![]() |
Wema akifutarisha |
Wema my dear una kila sababu ya kuwadhihirishia watanzania kuwa sasa umebadilika hebu tutambulishe shemeji yenu na mkweee hehehheheheheheh we love u mamaaaaaaaaaaaaa
WEMA ANA KAMPUNI YAKE MWENYEWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
![]() |
sehemu ya ofisi ya Wema |
![]() |
Sehemu ya ofisi ya Wema |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni