Chama
Cha Wananchi - CUF kinawatangazia wananchi wote, kuwa kitafadha mkutano
wa hadhara wa aina yake, siku ya Jumapili ya tarehe 22/09/2013
Mkutano
huo utaanza saa 8:00 mchana katika Viwanja vya Demokrasia ( KIBANDA MAITI) .
Mgeni
rasmi katika Mkutano huo ni Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad.
Shime
Wananchi wote kuhudhuria katika Mkutano huo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni