Jumanne, 15 Oktoba 2013

YANGA KUKIPIGA DHIDI YA CHIPUKIZI KESHO

Yanga leo asbuhi kwenye uwanja wa Gombani
Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka ya Tanzania bara kesho itashuka dimbani kukipiga dhidi ya Timu ya chipukizi inayoshiriki ligi kuu ya Zanzibar.
Yanga kwasasa iko Pemba ambako itaweka kambi ya siku tano kujiandaa na mchezo wao wa ligi kuu soka ya Tanzania bara dhidi ya mahasimu wao wekundu wa msimbazi Simba Octoba 20 mwaka huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni