CECAFA
BARAZA
LA VYAMA VYA SOKA AFRIKA MASHARIKI NA KATI
Limesajiliwa FIFA na CAF. Makao
makuu: Uwanja wa Nyayo-Nairobi, Kenya
IDARA
YA HABARI
Tarehe: Jumatatu
Novemba 11, 2013
Marefa wa Kombe la
CECAFA Challenge watajwa
Baraza la Vyama vya
Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) leo Jumatatu limetoa orodha ya marefa 18
watakasafiri kwenda Nairobikuchezesha mechi za mwaka huu ya Kombe la Challenge.
Orodha iliyotolewa na
Katibu Mkuu wa CECAFA, Nicholas Musonye ina marefa tisa (9) na marefa wasaidizi
tisa (9). Marefa wote watafanyiwa vipimo na usaili watakapowasili Nairobi kabla
ya kuanza kwa mashindano hayo Novemba 27.
Orodha ya marefa ni:
1. Anthony Okwayo-Kenya
2. Denis Batte-Uganda
3. Wish Yabarow- Somalia
4. Israel Mujuni- Tanzania
5. Louis Hakizimana- Rwanda
6. Thiery Nkurunziza- Burundi
7. Waziri Sheha- Zanzibar
8. Gebremichael Luleseged- Eritrea
9. Kheirala Murtaz - Sudan
Marefa wasaidi ni;
1. Gilbert Cheruiyot- Kenya
2. Tonny Kidiya- Kenya
3. Mark sonko- Uganda
4. Fedinard Chacha- Tanzania
5. Suleiman Bashir- Somalia
6. Fraser Zakara-South Sudan
7. Simba Honore-Rwanda
8. Hamid Idam- Sudan
9. Kinfe Yimla-Ethiopia
Regards
ROGERS MULINDWA
MENEJA HABARI CECAFA
Vyama wanachama: Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya,
Rwanda, Sudan, Somalia, South Sudan, Tanzania, Uganda na Zanzibar
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni