Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetoa orodha
ya wachezaji 25 wanaowania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika wa mwaka huku Yaya
Toure pamoja na Didier Drogba wakitumbukia ndani.
Kiungo wa Manchester City Yaya Toure ameshinda tuzo
hiyo kwa miaka miwili mfululizo iliyopita na endapo atafanikiwa kutwaa ya mwaka
huu atakuwa anaweka rekodi iliyowahi kuwekwa na nahodha wa Cameroon Samuel Etoo
alishinda ya kwa miaka mitatu mfululizo kuanzia 2002 hadi 2005.
Etoo ambaye anakipigia Chelsea kwa ujumla amewahi
kutwaa tuzo hiyo mara nne lakini mwaka huu amejikuta akitupwa nje ya
kinyang’anyiro hicho.
Ivory Coast imetoa wachezaji wawili kuwania tuzo
hiyo ambao ni Gervinho na Didier Drogba wakati Nigeria wametumbukiza nyota
watano John Obi Mikel.
Hafla ya kumtangaza mwanasoka bora wa Afrika wa
mwaka 2013 inataraji kufanyika July 09 mwakani huko Lagos nchini Nigeria.
Nominees
for African Footballer of the Year award:
Ahmed Musa (NGR/CSKA Moscow/RUS), Asamoah Gyan
(GHA/Al Ain/UAE), Dame N'Doye (SEN/Lokomotiv Moscow/RUS), Didier Drogba
(CIV/Galatasaray/TUR), Emmanuel Emenike (NGR/Fenerbahce/TUR), Islam Slimani
(ALG/Sporting Lisbon/POR), John Obi Mikel (NGR/Chelsea/ENG), Jonathan Pitroipa
(BUR/Rennes/FRA), Kevin Constant (GUI/AC Milan/ITA), Kwadwo Asamoah
(GHA/Juventus/ITA), Luis Carlos Almada Soares 'Platini' (CPV/Omonia
Nicosia/CYP), Mehdi Benatia (MAR/Roma/ITA), Mohamed Abou Trika (EGY/Al
Ahly/EGY), Mohamed Salah (EGY/Basle/SUI), Nicolas Nkoulou (CAM/Marseille/FRA),
Pierre-Emerick Aubameyang (GAB/Borussia Dortmund/GER), Ryan Mendes
(CPV/Lille/FRA), Saladin Said (ETH/Wadi Degla/EGY), Seydou Keita (MAL/Dalian
Aerbin/CHN), Sofiane Feghouli (ALG/Valencia/ESP), Sunday Mba (NGR/Warri
Wolves/NGR), Victor Wanyama (KEN/Southampton/ENG), Vincent Enyeama
(NGR/Lille/FRA), Gervinho (CIV/Roma/ITA), Yaya Toure (CIV/Manchester City/ENG)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni