Baada ya kumalizika kwa ligi kuu soka ya nchini
Kenya hii leo kamati ya ligi nchini humo imetoa orodha ya wanaowania zawadi
mbalimbali za msimu huu wa ligi huku mlinda mlango wa Gor Mahia kutoka nyumbani
Tanzania Ivo Mapunda akitupwa nje ya kinyang’anyiro hicho.
HII NDO ORODHA KAMILI
KIPA BORA
Wycliffe Kasaya – Sony Sugar
Sammy Okinda – KCB
Jerim Onyango – Gor Mahia
Wilson Obungu – Bandari
Duncan Ochieng – Sofapaka
BEKI
BORA
Felly Mulumba – Sofapaka
Mohammed Sharif – Bandari
John Odhiambo – KCB
David Mwangi – Mathare United
David Owino – Gor Mahia
MCHEZAJI
MWENYE NIDHAMU
Denis Onkangi – Western Stima
James Situma – Sofapaka
Oliver Ruto – Ulinzi Stars
Shaaban Kenga
– Bandari
Sammy Okinda – KCB
KOCHA
BORA WA MWAKA
David Ouma – Sofapaka
John Kamau – Thika United
Twahir Muhidin – Bandari
Abdallah Juma – KCB
Robert Matano – Tusker FC
TIMU
YENYE NIDHAMU
KCB
Sofapaka
Homeboys
Western Stima
Muhoroni Youth
KIUNGO
BORA
Brian Osumba – KCB
Shaaban Kenga – Bandari
Paul Were – AFC Leopards
Francis Kahata – Thika United
Peter Opiyo – AFC Leopards
MCHEZAJI
BORA CHIPUKIZI
Patila Omoto – AFC Leopards
Moses Mudavedi – Homeboyz
Steven Wakanya – Chemelil
Sammy Meja – Thika United
Michael Olunga – Tusker FC
MCHEZAJI
BORA
Allan Wanga – AFC Leopards
Dan Serunkuma – Gor Mahia
Jacob Keli – KCB
Shaaban Kenga – Bandari
David Owino – Gor Mahia
MENEJA
BORA WA TIMU WA MWAKA
Dan Omondi – Karuturi Sport
Josphat Okali – KCB
Alfred Achayo – Bandari
Tom Ochong – Chemelil
Moses Nyalik – Western Stima
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni